Home > Terms > Суахили (SW) > huduma

huduma

huduma au kazi ya utakaso inayofanywa kwa mahubiri ya neno na maadhimisho ya sakramenti na wale wa Daraja (893, 1536), au katika hali ya kuamua, kwa walei (903). Agano Jipya linazungumzia aina za huduma katika Kanisa; Kristo mwenyewe ndiye chanzo cha huduma katika kanisa (873-874). Maaskofu, makuhani, na mashemasi wametakaswa kuwa wahudumu katika Kanisa (1548).

0
Добавить в My Glossary (мой глоссарий)

Что вы хотите сказать?

Войдите в систему, чтобы добавить ответ к обсуждениям.

Термины в новостях

Особые термины

ongaka yusuf walela
  • 0

    Terms

  • 1

    Глоссарии

  • 0

    Followers

Отрасль/сфера деятельности: Образование Категория: Школы

elimu ya sehemu nyeti

kosa la kiaibu la tamko ambalo lilifaa kumaanisha "elimu ya umma" wakati wa udhamini uliotolewa na Wilaya ya Maeneo ya Shule za Simba ...

Участник

Избранные глоссарии

Nike Running Shoes

Категория: Спорт   1 10 Terms

Parkour

Категория: Спорт   1 10 Terms