Home > Terms > Суахили (SW) > lugha geni

lugha geni

lugha geni ni lugha ya nje isiyopatikana katika nchi fulani. pia ni lugha isiyozungumzwa katika nchi asili ya mtu anayerejelewa, hivi kwamba mtu anayezungumza kizungu na anaishi ujapani anaweza sema kuwa kijapani ni lugha geni kwake. ingawaje sifa hizi mbili hazitoi maelezo kamili, hata hivyo, kubandikwa huku saa zingine hutumika kwa njia zinazopotosha usahihi wa maana.

0
Добавить в My Glossary (мой глоссарий)

Что вы хотите сказать?

Войдите в систему, чтобы добавить ответ к обсуждениям.

Термины в новостях

Особые термины

edithrono
  • 0

    Terms

  • 0

    Глоссарии

  • 1

    Followers

Отрасль/сфера деятельности: Фестивали Категория: Рождество

mshumaa

chanzo cha mwanga mfano wa utambi iliyoingizwa katika mafuta mango, kwa kawaida nta au mafuta, na kutumika katika Ukristo kumaanisha Mwanga wa Yesu ...

Участник

Избранные глоссарии

Robin Williams

Категория: Развлечения   2 8 Terms

Tanjung's Sample Business 2

Категория: Путешествия   3 4 Terms